Isaya 59:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Hakuna yeyote anayedai uadilifu utendeke,+Na hakuna anayeenda mahakamani akiwa na ukweli. Wanatumaini mambo ambayo si halisi*+ na kusema mambo yasiyo na maana. Wanatunga mimba ya taabu na kuzaa madhara.+ Isaya Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 59:4 ip-2 291-292 Isaya Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 59:4 Unabii wa Isaya II, kur. 291-292
4 Hakuna yeyote anayedai uadilifu utendeke,+Na hakuna anayeenda mahakamani akiwa na ukweli. Wanatumaini mambo ambayo si halisi*+ na kusema mambo yasiyo na maana. Wanatunga mimba ya taabu na kuzaa madhara.+