Yeremia 32:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 kwa sababu ya uovu wote ambao watu wa Israeli na wa Yuda walifanya ili kunikasirisha—wao, wafalme wao,+ wakuu wao,+ makuhani wao, manabii wao,+ na watu wa Yuda na wakaaji wa Yerusalemu.
32 kwa sababu ya uovu wote ambao watu wa Israeli na wa Yuda walifanya ili kunikasirisha—wao, wafalme wao,+ wakuu wao,+ makuhani wao, manabii wao,+ na watu wa Yuda na wakaaji wa Yerusalemu.