Ezekieli 30:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Nitaitia nguvu mikono ya mfalme wa Babiloni, lakini mikono ya Farao italegea; nao watalazimika kujua kwamba mimi ni Yehova nitakapoutia upanga wangu mkononi mwa mfalme wa Babiloni naye aunyooshe dhidi ya nchi ya Misri.+
25 Nitaitia nguvu mikono ya mfalme wa Babiloni, lakini mikono ya Farao italegea; nao watalazimika kujua kwamba mimi ni Yehova nitakapoutia upanga wangu mkononi mwa mfalme wa Babiloni naye aunyooshe dhidi ya nchi ya Misri.+