Ezekieli 30:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Nami nitaitia nguvu mikono ya mfalme wa Babiloni, na mikono yenyewe ya Farao itaanguka; nao watalazimika kujua kwamba mimi ni Yehova nitakapoutia upanga wangu mkononi mwa mfalme wa Babiloni naye kwa kweli aunyooshe juu ya nchi ya Misri.+
25 Nami nitaitia nguvu mikono ya mfalme wa Babiloni, na mikono yenyewe ya Farao itaanguka; nao watalazimika kujua kwamba mimi ni Yehova nitakapoutia upanga wangu mkononi mwa mfalme wa Babiloni naye kwa kweli aunyooshe juu ya nchi ya Misri.+