Ezekieli 45:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 “‘Katika mwezi wa saba, siku ya 15 ya mwezi huo, kwa siku saba wakati wa sherehe,+ anapaswa kutoa dhabihu ileile ya dhambi, dhabihu nzima ya kuteketezwa, toleo la nafaka, na mafuta.’”
25 “‘Katika mwezi wa saba, siku ya 15 ya mwezi huo, kwa siku saba wakati wa sherehe,+ anapaswa kutoa dhabihu ileile ya dhambi, dhabihu nzima ya kuteketezwa, toleo la nafaka, na mafuta.’”