Ezekieli 45:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 “ ‘Katika mwezi wa saba, katika siku ya kumi na tano ya mwezi huo, wakati wa sherehe,+ atatoa vitu vivyo hivyo kwa siku saba,+ vivyo hivyo kwa habari ya toleo la dhambi, toleo zima la kuteketezwa, na toleo la nafaka na mafuta.’ ”
25 “ ‘Katika mwezi wa saba, katika siku ya kumi na tano ya mwezi huo, wakati wa sherehe,+ atatoa vitu vivyo hivyo kwa siku saba,+ vivyo hivyo kwa habari ya toleo la dhambi, toleo zima la kuteketezwa, na toleo la nafaka na mafuta.’ ”