Mambo ya Walawi 23:34 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 “Sema na wana wa Israeli, na kuwaambia, ‘Katika siku ya kumi na tano ya mwezi huu wa saba ni sherehe ya vibanda muda wa siku saba kwa Yehova.+ 2 Mambo ya Nyakati 5:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Basi watu wote wa Israeli wakakusanyika kwa mfalme kwenye sherehe, ile ya mwezi wa saba.+
34 “Sema na wana wa Israeli, na kuwaambia, ‘Katika siku ya kumi na tano ya mwezi huu wa saba ni sherehe ya vibanda muda wa siku saba kwa Yehova.+