11 Wakati wa sherehe na majira ya sherehe anapaswa kutoa toleo la nafaka la efa moja kwa ajili ya yule ng’ombe dume mchanga, efa moja kwa ajili ya yule kondoo dume, na chochote anachoweza kutoa kwa ajili ya wale wanakondoo dume, pamoja na hini moja ya mafuta kwa kila efa.+