11 Na katika sherehe+ na katika majira ya sherehe toleo la nafaka litakuwa efa moja kwa ajili ya yule ng’ombe-dume mchanga na efa moja kwa ajili ya yule kondoo-dume, na kwa ajili ya wale wana-kondoo kulingana na uwezo wake wa kutoa; na, kwa habari ya mafuta, hini moja kwa efa.+