2 “Sema na wana wa Israeli, nawe uwaambie, ‘Sherehe za majira+ za Yehova ambazo mtatangaza+ ni mikusanyiko mitakatifu. Hizi ndizo sherehe zangu za majira:
29“‘Na katika mwezi wa saba, siku ya kwanza ya mwezi huo, mtafanya mkusanyiko mtakatifu.+ Hamtafanya kazi ngumu ya aina yoyote.+ Itakuwa siku ya kupiga tarumbeta kwenu.+
10 Halafu utasherehekea sherehe ya majuma kwa Yehova Mungu wako,+ kulingana na toleo la hiari la mkono wako ambalo utatoa, kama vile Yehova Mungu wako atakavyokuwa amekubariki.+