Ezekieli 47:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Ndipo akaniambia: “Maji haya yanatiririka kuelekea eneo la mashariki na yanashuka kupitia Araba*+ na kuingia baharini. Yakiingia baharini,+ maji ya bahari yataponywa. Ezekieli Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 47:8 Ibada Safi, kur. 202-205, 209-210 Mnara wa Mlinzi,11/1/1989, uku. 179/15/1988, uku. 27
8 Ndipo akaniambia: “Maji haya yanatiririka kuelekea eneo la mashariki na yanashuka kupitia Araba*+ na kuingia baharini. Yakiingia baharini,+ maji ya bahari yataponywa.