Ezekieli 47:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Naye akaendelea kuniambia: “Maji haya yanaenda eneo la mashariki nayo yatakwenda chini kupitia Araba.+ Nayo yatakuja baharini.+ Yanapoletwa katika bahari yenyewe,+ maji yake kwa kweli huponywa pia. Ezekieli Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 47:8 Ibada Safi, kur. 202-205, 209-210 Mnara wa Mlinzi,11/1/1989, uku. 179/15/1988, uku. 27
8 Naye akaendelea kuniambia: “Maji haya yanaenda eneo la mashariki nayo yatakwenda chini kupitia Araba.+ Nayo yatakuja baharini.+ Yanapoletwa katika bahari yenyewe,+ maji yake kwa kweli huponywa pia.