18 “Na upande wa mashariki ni kutoka katikati ya Haurani+ na Damasko+ na katikati ya Gileadi+ na nchi ya Israeli; Yordani,+ kutoka katika mpaka wa bahari upande wa mashariki mtapima. Huo ndio upande wa mashariki.
8 Na itatukia siku hiyo kwamba maji yaliyo hai+ yatatoka katika Yerusalemu,+ nusu yake kuelekea upande wa bahari ya mashariki+ na nusu yake kuelekea upande wa bahari ya magharibi.+ Itakuwa hivi wakati wa kiangazi na wa majira ya baridi kali.+