Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ezekieli 47:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 “Na upande wa mashariki ni kutoka katikati ya Haurani+ na Damasko+ na katikati ya Gileadi+ na nchi ya Israeli; Yordani,+ kutoka katika mpaka wa bahari upande wa mashariki mtapima. Huo ndio upande wa mashariki.

  • Zekaria 14:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Na itatukia siku hiyo kwamba maji yaliyo hai+ yatatoka katika Yerusalemu,+ nusu yake kuelekea upande wa bahari ya mashariki+ na nusu yake kuelekea upande wa bahari ya magharibi.+ Itakuwa hivi wakati wa kiangazi na wa majira ya baridi kali.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki