9 “‘Mlitazamia mavuno mengi lakini mlipata kidogo; na mlipoyaleta katika nyumba hii, niliyapeperusha mbali.+ Kwa nini?’ auliza Yehova wa majeshi. ‘Kwa sababu nyumba yangu ni magofu, huku kila mmoja wenu akikimbia huku na huku ili kuitunza nyumba yake mwenyewe.+