9 “ ‘Mlitafuta vitu vingi, lakini tazama kulikuwa na vichache tu;+ nanyi mmevileta ndani ya nyumba, nami nikavipeperusha+—kwa sababu gani?’+ asema Yehova wa majeshi. ‘Kwa sababu nyumba yangu imeharibika, huku mkiwa mbioni, kila mmoja kwa ajili ya nyumba yake mwenyewe.+