13 Pia mnasema, ‘Tazama! Inachosha kwelikweli!’ na kwa pua zenu mnaishushia pumzi kwa dharau,” asema Yehova wa majeshi. “Nanyi mnaleta wanyama walioibwa, vilema, na wagonjwa. Naam, mnaleta vitu hivyo kuwa zawadi! Je, niikubali kutoka mikononi mwenu?”+ auliza Yehova.