-
Mathayo 17:25Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
-
-
25 Akasema: “Ndiyo.” Hata hivyo, alipoingia ndani ya nyumba Yesu alimtangulia kwa kusema: “Wewe wafikiri nini, Simoni? Ni kutoka kwa nani wafalme wa dunia hupokea ushuru wa forodhani au kodi ya kichwa? Ni kutoka kwa wana wao au ni kutoka kwa wageni?”
-