-
Mathayo 17:25Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
25 Akasema: “Analipa.” Hata hivyo, alipoingia ndani ya nyumba Yesu akamtangulia kusema: “Unaonaje, Simoni? Wafalme wa dunia hupokea ushuru au kodi ya kichwa kutoka kwa nani? Kutoka kwa wana wao au kutoka kwa wageni?”
-
-
Mathayo 17:25Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
-
-
25 Akasema: “Ndiyo.” Hata hivyo, alipoingia ndani ya nyumba Yesu alimtangulia kwa kusema: “Wewe wafikiri nini, Simoni? Ni kutoka kwa nani wafalme wa dunia hupokea ushuru wa forodhani au kodi ya kichwa? Ni kutoka kwa wana wao au ni kutoka kwa wageni?”
-