-
Matendo 22:30Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
-
-
30 Kwa hiyo, siku iliyofuata, kwa kuwa alitaka kujua kwa hakika ni kwa nini hasa alikuwa akishtakiwa na Wayahudi, akamfungua na kuwaamuru makuhani wakuu na Sanhedrini yote wakusanyike. Naye akamleta Paulo chini na kumsimamisha miongoni mwao.
-