-
Waroma 12:8Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
-
-
8 au yeye ahimizaye kwa bidii, acheni ajishughulishe katika himizo lake la bidii; yeye agawaye, acheni afanye hilo kwa ukarimu; yeye asimamiaye, acheni afanye hilo katika bidii halisi; yeye aonyeshaye rehema, acheni afanye hilo kwa uchangamfu.
-