-
2 Wakorintho 12:6Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
6 Kwa maana hata nikitaka kujisifu, sitakuwa mtu asiye na akili, kwa kuwa nitasema ukweli. Lakini sitaki kufanya hivyo, ili yeyote asinisifu zaidi ya yale anayoona kwangu au kusikia kutoka kwangu,
-
-
2 Wakorintho 12:6Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
-
-
6 Kwa maana ikiwa wakati wowote ningetaka kujisifu, singekuwa mwenye kukosa akili, kwa maana nitasema kweli. Lakini naepuka, ili yeyote asinihesabie sifa zaidi ya kile anionacho mimi kuwa au asikiacho kutoka kwangu,
-