-
Waebrania 4:1Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
-
-
4 Kwa hiyo, kwa kuwa ahadi imebaki ya kuingia ndani ya pumziko lake, acheni sisi tuhofu kwamba wakati fulani mtu fulani kati yenu asije akaonekana kuwa amepungukiwa na hiyo.
-