Mwanzo 47:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Naye akawaondoa watu na kuwapeleka majijini toka mwisho mmoja wa eneo la Misri mpaka mwisho ule mwingine.+ Mwanzo Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 47:21 Mnara wa Mlinzi,5/1/1987, kur. 15-16, 19-20
21 Naye akawaondoa watu na kuwapeleka majijini toka mwisho mmoja wa eneo la Misri mpaka mwisho ule mwingine.+