Mwanzo 22:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Mwishowe wakafika mahali ambapo Mungu wa kweli alikuwa amemwonyesha, naye Abrahamu akajenga madhabahu+ hapo na kuziweka kuni kwa utaratibu, akamfunga Isaka mwana wake mikono na miguu na kumweka juu ya madhabahu juu ya zile kuni.+ Mwanzo Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 22:9 Mnara wa Mlinzi,7/1/1989, uku. 22
9 Mwishowe wakafika mahali ambapo Mungu wa kweli alikuwa amemwonyesha, naye Abrahamu akajenga madhabahu+ hapo na kuziweka kuni kwa utaratibu, akamfunga Isaka mwana wake mikono na miguu na kumweka juu ya madhabahu juu ya zile kuni.+