Kutoka 5:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Na wale waliokuwa wakiwalazimisha kufanya kazi wakawa wakiwahimiza,+ wakisema: “Malizeni kazi zenu, kila mmoja kazi yake, siku baada ya siku, kama wakati ambapo nyasi ilikuwa ikipatikana.”+
13 Na wale waliokuwa wakiwalazimisha kufanya kazi wakawa wakiwahimiza,+ wakisema: “Malizeni kazi zenu, kila mmoja kazi yake, siku baada ya siku, kama wakati ambapo nyasi ilikuwa ikipatikana.”+