Kumbukumbu la Torati 26:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Nasi tukaanza kumlilia Yehova Mungu wa mababu zetu,+ naye Yehova akaisikia sauti yetu+ na kutazama mateso yetu na taabu yetu na kukandamizwa kwetu.+ Mhubiri 4:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Nami nikarudi nipate kuona matendo yote ya uonevu+ yanayofanywa chini ya jua, na, tazama! machozi ya wale wanaokandamizwa,+ lakini hawakuwa na mtu wa kuwafariji;+ nao wakandamizaji walikuwa na nguvu, hivi kwamba hawakuwa na mtu wa kuwafariji.
7 Nasi tukaanza kumlilia Yehova Mungu wa mababu zetu,+ naye Yehova akaisikia sauti yetu+ na kutazama mateso yetu na taabu yetu na kukandamizwa kwetu.+
4 Nami nikarudi nipate kuona matendo yote ya uonevu+ yanayofanywa chini ya jua, na, tazama! machozi ya wale wanaokandamizwa,+ lakini hawakuwa na mtu wa kuwafariji;+ nao wakandamizaji walikuwa na nguvu, hivi kwamba hawakuwa na mtu wa kuwafariji.