Kutoka 21:35 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 Na ikiwa ng’ombe-dume wa mtu atamuumiza ng’ombe-dume wa mtu mwingine naye afe, basi watamuuza ng’ombe-dume aliye hai na kugawana pesa zilizolipwa kwa ajili yake; naye yule aliyekufa pia watagawana.+
35 Na ikiwa ng’ombe-dume wa mtu atamuumiza ng’ombe-dume wa mtu mwingine naye afe, basi watamuuza ng’ombe-dume aliye hai na kugawana pesa zilizolipwa kwa ajili yake; naye yule aliyekufa pia watagawana.+