Kutoka 29:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Nawe utachukua sehemu ya damu+ ya huyo ng’ombe-dume na kuiweka kwa kidole chako juu ya zile pembe za madhabahu,+ na damu yote inayobaki utaimimina chini ya madhabahu.+
12 Nawe utachukua sehemu ya damu+ ya huyo ng’ombe-dume na kuiweka kwa kidole chako juu ya zile pembe za madhabahu,+ na damu yote inayobaki utaimimina chini ya madhabahu.+