Mambo ya Walawi 2:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 “‘Hakuna toleo lolote la nafaka ambalo mtamtolea Yehova litakalofanywa kuwa kitu kilichotiwa chachu,+ kwa sababu hamtafukiza unga wowote uliokandwa wenye chachu wala asali yoyote, kuwa toleo linalotolewa kwa Yehova kwa njia ya moto. Mambo ya Walawi Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 2:11 w04 5/15 21-22 Mambo ya Walawi Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 2:11 Mnara wa Mlinzi,5/15/2004, kur. 21-22
11 “‘Hakuna toleo lolote la nafaka ambalo mtamtolea Yehova litakalofanywa kuwa kitu kilichotiwa chachu,+ kwa sababu hamtafukiza unga wowote uliokandwa wenye chachu wala asali yoyote, kuwa toleo linalotolewa kwa Yehova kwa njia ya moto.