Mambo ya Walawi 4:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 “‘Mkuu+ anapotenda dhambi naye afanye bila kukusudia moja kati ya mambo yote ambayo Yehova Mungu wake ameamuru yasifanywe,+ na kwa hiyo amekuwa na hatia,
22 “‘Mkuu+ anapotenda dhambi naye afanye bila kukusudia moja kati ya mambo yote ambayo Yehova Mungu wake ameamuru yasifanywe,+ na kwa hiyo amekuwa na hatia,