Mambo ya Walawi 16:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Naye ataoga mwili wake katika maji+ katika mahali patakatifu+ na kuvaa mavazi+ yake na kutoka nje na kutoa toleo lake la kuteketezwa+ na toleo la kuteketezwa la watu+ na kufanya upatanisho kwa ajili yake mwenyewe na kwa ajili ya watu.+ Mambo ya Walawi Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 16:24 Ufahamu,
24 Naye ataoga mwili wake katika maji+ katika mahali patakatifu+ na kuvaa mavazi+ yake na kutoka nje na kutoa toleo lake la kuteketezwa+ na toleo la kuteketezwa la watu+ na kufanya upatanisho kwa ajili yake mwenyewe na kwa ajili ya watu.+