Mambo ya Walawi 20:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 basi mimi nami nitaukaza uso wangu juu ya mtu huyo na familia yake,+ nami nitamkatilia mbali yeye na wote wanaofanya uasherati pamoja naye katika kufanya uasherati+ na Moleki watoke katikati ya watu wao.
5 basi mimi nami nitaukaza uso wangu juu ya mtu huyo na familia yake,+ nami nitamkatilia mbali yeye na wote wanaofanya uasherati pamoja naye katika kufanya uasherati+ na Moleki watoke katikati ya watu wao.