Mambo ya Walawi 25:50 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 50 Naye atafanya hesabu na mnunuzi wake tangu mwaka aliojiuza mpaka mwaka wa Yubile,+ na pesa za ununuzi wake zitalingana na hesabu ya miaka.+ Ataendelea kuwa pamoja naye jinsi ambavyo siku za kazi za mfanyakazi wa kukodiwa huhesabiwa.+
50 Naye atafanya hesabu na mnunuzi wake tangu mwaka aliojiuza mpaka mwaka wa Yubile,+ na pesa za ununuzi wake zitalingana na hesabu ya miaka.+ Ataendelea kuwa pamoja naye jinsi ambavyo siku za kazi za mfanyakazi wa kukodiwa huhesabiwa.+