Hesabu 10:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 “Na ikiwa mtaingia vitani katika nchi yenu kupigana na mkandamizaji anayewasumbua ninyi,+ mnapaswa pia kutoa mwito wa vita kwa tarumbeta+ nanyi hakika mtakumbukwa mbele za Yehova Mungu wenu na kuokolewa kutoka kwa adui zenu.+
9 “Na ikiwa mtaingia vitani katika nchi yenu kupigana na mkandamizaji anayewasumbua ninyi,+ mnapaswa pia kutoa mwito wa vita kwa tarumbeta+ nanyi hakika mtakumbukwa mbele za Yehova Mungu wenu na kuokolewa kutoka kwa adui zenu.+