27 Na ikawa kwamba alipofika huko akaanza kupiga baragumu+ katika eneo lenye milima la Efraimu;+ na wana wa Israeli wakaanza kushuka pamoja naye kutoka katika eneo lenye milima, yeye akiwa mbele yao.
20 Ndipo vile vikosi vitatu vikapiga baragumu+ na kuivunja-vunja ile mitungi mikubwa na kuchukua tena ile mienge kwa mkono wao wa kushoto na zile baragumu katika mkono wao wa kuume ili kuzipiga, nao wakaanza kupaaza sauti: “Upanga wa Yehova+ na wa Gideoni!”
12 Na tazama! pamoja nasi yuko mbele yetu Mungu wa kweli+ pamoja na makuhani+ wake na tarumbeta+ za ishara kwa ajili ya kupiga king’ora cha vita juu yenu. Enyi wana wa Israeli, msipigane na Yehova Mungu wa mababu zenu,+ kwa maana hamtafanikiwa.”+