18 Nawe utawaambia watu hao, ‘Jitakaseni kwa ajili ya kesho,+ kwa maana hakika mtakula nyama, kwa sababu mmelia masikioni mwa Yehova,+ na kusema: “Ni nani atakayetupa nyama tule, kwa maana mambo yalituendea vema huko Misri?”+ Na Yehova hakika atawapa nyama, nanyi kwa kweli mtakula.+