18 Unapaswa kuwaambia watu, ‘Jitakaseni kwa ajili ya kesho,+ kwa maana hakika mtakula nyama, kwa sababu Yehova amewasikia mkilia+ na kusema: “Ni nani atakayetupatia nyama tule? Hali yetu ilikuwa nzuri zaidi nchini Misri.”+ Hakika Yehova atawapa nyama, nanyi mtaila.+