Hesabu 19:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 “Hii ni amri ya sheria ambayo Yehova ameamuru, na kusema, ‘Waambie wana wa Israeli kwamba wakuchukulie ng’ombe mwekundu aliye timamu+ ambaye hana kasoro yoyote na ambaye hajafungwa nira yoyote.+ Hesabu Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 19:2 “Kila Andiko,” uku. 35
2 “Hii ni amri ya sheria ambayo Yehova ameamuru, na kusema, ‘Waambie wana wa Israeli kwamba wakuchukulie ng’ombe mwekundu aliye timamu+ ambaye hana kasoro yoyote na ambaye hajafungwa nira yoyote.+