Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 22:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Kitu chochote chenye kasoro hamtakitoa,+ kwa sababu hakitawaletea ninyi kibali.

  • Malaki 1:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 “Naye amelaaniwa anayetenda kwa ujanja wakati kuna mnyama dume katika kundi lake, naye anaweka nadhiri na kutoa dhabihu ya kilema kwa Yehova.+ Kwa maana mimi ni Mfalme mkuu,”+ Yehova wa majeshi amesema, “na jina langu litakuwa lenye kuogopesha kati ya mataifa.”+

  • 1 Petro 2:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Yeye hakufanya dhambi,+ wala udanganyifu haukupatikana kinywani mwake.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki