Hesabu 24:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Balaamu alipoona kwamba ilikuwa vema machoni pa Yehova kubariki Israeli, hakuenda kama zile mara nyingine+ na kutafuta ishara zozote za bahati mbaya,+ bali alielekeza uso wake nyikani.
24 Balaamu alipoona kwamba ilikuwa vema machoni pa Yehova kubariki Israeli, hakuenda kama zile mara nyingine+ na kutafuta ishara zozote za bahati mbaya,+ bali alielekeza uso wake nyikani.