Mwanzo 30:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Ndipo Labani akamwambia: “Ikiwa, sasa, nimepata kibali machoni pako,—nimezifasiri zile ishara za bahati zinazoonyesha kwamba Yehova ananibariki kwa ajili yako.”+ Mambo ya Walawi 19:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 “‘Msile kitu chochote pamoja na damu.+ “‘Msitafute ishara za bahati,+ wala msifanye uchawi.+ Hesabu 23:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Kwa maana hakuna apizo lolote la bahati mbaya juu ya Yakobo,+Wala uaguzi wowote juu ya Israeli.+Na wakati huu inaweza kusemwa juu ya Yakobo na Israeli,‘Mungu ametenda nini!’+
27 Ndipo Labani akamwambia: “Ikiwa, sasa, nimepata kibali machoni pako,—nimezifasiri zile ishara za bahati zinazoonyesha kwamba Yehova ananibariki kwa ajili yako.”+
23 Kwa maana hakuna apizo lolote la bahati mbaya juu ya Yakobo,+Wala uaguzi wowote juu ya Israeli.+Na wakati huu inaweza kusemwa juu ya Yakobo na Israeli,‘Mungu ametenda nini!’+