Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 30:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Ndipo Labani akamwambia: “Ikiwa, sasa, nimepata kibali machoni pako,—nimezifasiri zile ishara za bahati zinazoonyesha kwamba Yehova ananibariki kwa ajili yako.”+

  • Mambo ya Walawi 19:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 “‘Msile kitu chochote pamoja na damu.+

      “‘Msitafute ishara za bahati,+ wala msifanye uchawi.+

  • Hesabu 23:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Kwa maana hakuna apizo lolote la bahati mbaya juu ya Yakobo,+

      Wala uaguzi wowote juu ya Israeli.+

      Na wakati huu inaweza kusemwa juu ya Yakobo na Israeli,

      ‘Mungu ametenda nini!’+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki