Kumbukumbu la Torati 12:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 “Wakati ambapo Yehova Mungu wako atalipanua eneo lako,+ kama vile ambavyo amekuahidi,+ nawe hakika utasema, ‘Acha nile nyama,’ kwa sababu nafsi yako inatamani kula nyama, wakati wowote ambapo nafsi yako inatamani unaweza kula nyama.+
20 “Wakati ambapo Yehova Mungu wako atalipanua eneo lako,+ kama vile ambavyo amekuahidi,+ nawe hakika utasema, ‘Acha nile nyama,’ kwa sababu nafsi yako inatamani kula nyama, wakati wowote ambapo nafsi yako inatamani unaweza kula nyama.+