Kumbukumbu la Torati 33:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Mtu aliyemwambia baba yake na mama yake, ‘Mimi sijamwona.’Hata ndugu zake hakuwatambua,+Na wanawe hakuwajua.Kwa maana walilishika neno lako,+Na agano lako waliendelea kulishika.+
9 Mtu aliyemwambia baba yake na mama yake, ‘Mimi sijamwona.’Hata ndugu zake hakuwatambua,+Na wanawe hakuwajua.Kwa maana walilishika neno lako,+Na agano lako waliendelea kulishika.+