Yoshua 18:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Nao waigawanye kati yao wenyewe iwe mafungu saba.+ Yuda ataendelea kusimama katika eneo lake upande wa kusini,+ na nyumba ya Yosefu wataendelea kusimama katika eneo lao upande wa kaskazini.+
5 Nao waigawanye kati yao wenyewe iwe mafungu saba.+ Yuda ataendelea kusimama katika eneo lake upande wa kusini,+ na nyumba ya Yosefu wataendelea kusimama katika eneo lao upande wa kaskazini.+