13 Kwa hiyo Musa akawaamuru wana wa Israeli, na kusema: “Hii ndiyo nchi mtakayojigawia kwa kura+ iwe miliki, kama vile ambavyo Yehova ameamuru ili kuyapa yale makabila tisa na nusu.+
51 Huo ndio uliokuwa urithi ambao Eleazari kuhani na Yoshua mwana wa Nuni na vichwa vya upande wa baba vya makabila ya wana wa Israeli waligawanya+ kuwa miliki kwa njia ya kura katika Shilo+ mbele za Yehova, kwenye mwingilio wa hema la mkutano.+ Basi wakaacha kuigawanya nchi.