Yoshua 16:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Na kura+ ya wana wa Yosefu+ ikawa kutoka Yordani+ huko Yeriko hadi kwenye maji ya Yeriko upande wa mashariki, nyika inayopanda kutoka Yeriko hadi katika eneo lenye milima la Betheli.+ Yoshua 16:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Na wana wa Yosefu,+ Manase na Efraimu,+ wakaanza kuimiliki nchi.+
16 Na kura+ ya wana wa Yosefu+ ikawa kutoka Yordani+ huko Yeriko hadi kwenye maji ya Yeriko upande wa mashariki, nyika inayopanda kutoka Yeriko hadi katika eneo lenye milima la Betheli.+