Waamuzi 3:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Naye akatoka nje.+ Na watumishi wa mfalme wakaja na kuanza kuangalia, na tazama, milango ya chumba cha dari ilikuwa imefungwa kwa ufunguo. Kwa hiyo wakasema: “Ameenda haja+ katika chumba chake cha ndani chenye baridi.” Waamuzi Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 3:24 w04 3/15 30-31; w97 3/15 30-31 Waamuzi Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 3:24 Mnara wa Mlinzi,3/15/2004, kur. 30-313/15/1997, kur. 30-31
24 Naye akatoka nje.+ Na watumishi wa mfalme wakaja na kuanza kuangalia, na tazama, milango ya chumba cha dari ilikuwa imefungwa kwa ufunguo. Kwa hiyo wakasema: “Ameenda haja+ katika chumba chake cha ndani chenye baridi.”