Waamuzi 7:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Nitakapokuwa nimekwisha kupiga baragumu, mimi na wote walio pamoja nami, ninyi pia zipigeni baragumu, kuizunguka kambi yote,+ nanyi mseme, ‘Upanga wa Yehova+ na wa Gideoni!’”
18 Nitakapokuwa nimekwisha kupiga baragumu, mimi na wote walio pamoja nami, ninyi pia zipigeni baragumu, kuizunguka kambi yote,+ nanyi mseme, ‘Upanga wa Yehova+ na wa Gideoni!’”