Waamuzi 8:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Kisha Gideoni akawaambia tena: “Acheni niwaombe jambo moja: Kila mmoja wenu anipe pete ya pua+ ya nyara yake.” (Kwa maana walikuwa na pete za pua za dhahabu, kwa sababu walikuwa Waishmaeli.)+
24 Kisha Gideoni akawaambia tena: “Acheni niwaombe jambo moja: Kila mmoja wenu anipe pete ya pua+ ya nyara yake.” (Kwa maana walikuwa na pete za pua za dhahabu, kwa sababu walikuwa Waishmaeli.)+