11 Tena, malaika wa Yehova akamwambia: “Tazama una mimba, nawe utazaa mwana, nawe utamwita jina lake Ishmaeli;+ kwa kuwa Yehova ameyasikia mateso yako.+
13 Basi haya ndiyo majina ya wana wa Ishmaeli, kufuatana na majina yao, kulingana na asili za familia zao: Mzaliwa wa kwanza wa Ishmaeli alikuwa Nebayothi+ na Kedari+ na Adbeeli na Mibsamu+
9 Kwa hiyo Esau akaenda kwa Ishmaeli akamchukua Mahalathi binti ya Ishmaeli mwana wa Abrahamu, dada ya Nebayothi, kuwa mke wake, kuongezea wake zake wengine.+
28 Wanaume, wanabiashara Wamidiani,+ wakapitia hapo. Basi wakamvuta na kumpandisha Yosefu kutoka katika lile shimo la maji+ kisha wakamuuza kwa wale Waishmaeli kwa vipande 20 vya fedha.+ Mwishowe wanabiashara hao wakampeleka Yosefu Misri.